Bwana Gilbert Pantaleo Herman Mushi, wa kibosho kilima juu, antangaza kifo cha baba yake Mzazi Pantaleo Herman Mushi kilichotokea Hospitali ya Taifa Muhimbili tarehe 28-November-2017, mipango ya mazishi inafanywa suwata Kariakoo saa Kumi jioni
Habari ziwafikie Joseph Peter Mushi wa Arusha,
mjomba wa marehemu Blaseed Mushi wa kirima, Ukoo wote wa Mushi,Masawe na
Marya, Pamoja na ndugu jamaa na marafiki popote pale walipo.
Taarifa za Msiba wa Bw. Pantaleo Herman Mushi
Reviewed by CONVIDA FUNERAL HOME COMPANY LIMITED
on
3:03 PM
Rating:

No comments:
Post a Comment