banner image

Taarifa za Msiba wa Bw. Huruma Godwin kessi


Bwana Godwin Huruma kessi wa Tabata, anatangaza kifo cha Baba yake mpendwa Bw. Huruma Godwin kessi kilichotokea Hospitali ya Muhimbili tarehe 29-November-2017, mipango ya mazishi inafanywa Riverside Bar Ubungo, saa kumi na moja jioni
Habari ziwafikie Famili yote Mali, familia mena na familia yote ya Kessi, Pamoja  na ndugu  jamaa na marafiki popote pale walipo.
Taarifa za Msiba wa Bw. Huruma Godwin kessi Taarifa za Msiba wa  Bw. Huruma Godwin kessi Reviewed by CONVIDA FUNERAL HOME COMPANY LIMITED on 3:02 PM Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.