banner image

Taarifa za Msiba wa Mzee Manase Imeti Urio


Mzee Lawrance Manase Urio wa Marangu sembeti, anatangaza kifo cha Baba yake mpendwa  Mzee Manase  Imeti Urio kilichotokea Hospitali ya Marangu tarehe 27-November-2017, mipango ya mazishi inafanywa Lego hotel shikilango sinza saa kumi na moja jioni, na  maziko yatafanyika jumamosi tarehe 2-December-2017 Marangu Sembeti.
Habari ziwafikie Ukoo wote wa Imeti Urio, na ukoo wote wa Mchack wa Marangu, familia ya Mama Irene wa Arusha, na wajukuu wa Marehemu wa Uingereza,Marekani, Zimbabwe na India, Ukoo wote wa Manyanga na Mnawa wa Marangu, Pamoja  na ndugu  jamaa na marafiki popote pale walipo.
Taarifa za Msiba wa Mzee Manase Imeti Urio Taarifa za Msiba wa Mzee Manase  Imeti Urio Reviewed by CONVIDA FUNERAL HOME COMPANY LIMITED on 3:05 PM Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.