UPDATES: Marehemu mpendwa wetu Eyshe Max amezikwa jana katika makaburi
ya Geneva, mazishi yaliyohudhuriwa na watu wengi ikiwemo jumuiya ya
Watanzania waishio huko, ndugu, jamaa na marafiki.
Marehemu Eyshe atakumbukwa daima kwa ucheshi na upendo wake na zaidi zaidi kwa ucha Mungu wake. Tunamuomba Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi, na aifariji familia yake aliyoiacha nyuma.
Amin.🙏🏾
SOURCE: MICHUZI BLOG
Marehemu Eyshe atakumbukwa daima kwa ucheshi na upendo wake na zaidi zaidi kwa ucha Mungu wake. Tunamuomba Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi, na aifariji familia yake aliyoiacha nyuma.
Amin.🙏🏾
SOURCE: MICHUZI BLOG
MPENDWA WETU EYSHE MAX AZIKWA HUKO GENEVA, USWIS
Reviewed by CONVIDA FUNERAL HOME COMPANY LIMITED
on
1:48 PM
Rating:
![MPENDWA WETU EYSHE MAX AZIKWA HUKO GENEVA, USWIS](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiTAK2Tj80APDRivX1183wgOT385E0hKfM6bVfby2Kq8aCiWBJMky1vxPJ-hMND1OhKXlTP25_k_m1bxJwcidnTdL0mkSNCZG8X8aL18EAGXFFPDpxN0lhYZ9L6cKFiBkVJ1AODnzeoUBc/s72-c/unnamed+%252838%2529.jpg)
No comments:
Post a Comment