banner image

Tanzia : MWENYEKITI WA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA MTWARA HASSAN SIMBA AFARIKI DUNIA


Hassan Simba enzi za uhai wake
Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Mtwara (Mtwara Press Club) Hassan Simba amefariki dunia katika hospitali ya Temeke jijini Dar es salaam jana Jumamosi mchana  Februari 24,2018.

Hassan Simba ambaye alikuwa anaandikia gazeti la Habarileo amefariki alipokuwa anapata matibabu baada ya kuugua muda mrefu.

Mungu ailaze Mahali Pema Peponi roho ya Marehemu Hassan Simba. Amina! 

Tanzia : MWENYEKITI WA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA MTWARA HASSAN SIMBA AFARIKI DUNIA Tanzia : MWENYEKITI WA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA MTWARA HASSAN SIMBA AFARIKI DUNIA Reviewed by SHEDrack Mtawa on 1:50 PM Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.