banner image

Taarifa za msiba wa Dominick Gama

Bwana  William Lawrance Gama wa Mbezi beach Dar es salaam anatangaza kifo cha cha Kaka yake Bwana Dominick Gama, kilichotokea  South Africa tarehe 28-November-2017, mipango ya mazishi inafanywa nyumbani kwa maehemu Kinondoni B  Dar es salaam.
Habari ziwafikie Ukoo wote wa Gama Wa Tanga,Dar es salaam na Songea, Ukoo wote wa Lugusha wa sikonge Tabora, Pamoja  na ndugu  jamaa na marafiki popote pale walipo.
Taarifa za msiba wa Dominick Gama Taarifa za msiba wa Dominick Gama Reviewed by CONVIDA FUNERAL HOME COMPANY LIMITED on 3:41 PM Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.